Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2024

IFAHAMU ELIMU YA UUAMBAJI BINADAMU BILA KUJAMIIANA (CLONING)

  Mchakato wa uumbaji wa binadamu bila kujaamiana (Cloning) ulianza mwaka 1938 na wanajeshi wa Nazi chini ya kamanda Hitler. Ian Wilmut. Muasisi wa uuambaji wa kondoo aitwaye Dolly, raia wa Uingereza alipata upinzani mkali baada ya kumuumba kondoo huyo akiwa na timu yake ya wanasayansi. Alifariki akiwa na miaka 79 kwa ugonjwa wa kukakamaa yaani "Parkinson's" aliougua kwa muda mrefu, kilieleza chanzo toka Chuo Kikuu cha Edinburg nchini Scotland. Wilmut aliibua mjadala mkali juu ya maadili ya kuwaumba viumbe bila kujaamiana mara alipotangaza kwamba yeye na timu yake ya taasisi ya Baiolojia kwa wanyama ya Roslin wamemuumba mwanakondoo kwa kutumia seli za kiini kutoka kwa kondoo mkubwa, na mwanakondoo huyo akapewa jina la Dolly, kutokana na jina la mwanamuziki Dolly Parton. Uuambaji wa mwanakondoo ulikuwa ni wa awali kwa wanasayansi, kupevusha seli za kiumbe mkubwa na kufanya kazi kama seli za kiumbe mkubwa na kuzaa kiinitete walio sawa. Uumbaji wa Dolly ulianzisha mapinduzi ...