Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2024

Zijue haki zako kabla na baada ya kukamatwa na askari polisi

  Kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, raia ana haki zifuatazo anapokamatwa na askari polisi: 1. Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwake. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari 2. Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka au kukamatwa. 3. Raia ana haki ya kuwajulisha ndugu, jamaa au sehemu anakofanyia kazi kwamba amekamatwa na polisi ama Taasisi ya Kuzuia Rushwa. 4. Raia ana haki ya kuomba na kupewa dhamana wakati akiwa kituo cha polisi au Taasisi ya kuzuia rushwa. 5. Hutakiwi kutoa fedha kama dhamana Iwapo kituo cha polisi au Taasisi ya Kuzuia Rushwa, isipokuwa maelezo utakayoandika. 6. Raia ana haki ya kuwaeleza polisi au Maafisa wa Kuzuia Rushwa kwamba lolote atakalosema linaweza kutumiwa kama ushahidi mahakamani, na asiburuzwe kuandika tu. 7. Raia ana haki ya kuomba Wakili wake awepo kituo cha polisi au Taasisi ya Kuzuia Rushwa wakati anatoa maelezo yake. 8. Raia ana haki ya kuyasoma maelezo kabla ya kutia sahihi yake. 9. Raia a...